Mgeni rasmi Meya wa jiji la Arusha,Kalisti Lazaro(kushoto) akikata keki kuashiria Uzinduzi wa duka jipya la kisasa la Vodacom Tanzania lililopo eneo la Florida jijini humo,watatu toka kushoto ni Mkurugenzi wa maduka ya Vodacom Tanzania jijini humo,Theobald Mworia.
Mkuu wa Vodacom Tanzania kanda ya Kaskazini,Henry Tzamburakis (kulia),akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa Uzinduzi wa duka la kampuni hiyo jana lililopo eneo la Florida jijini Arusha,(katikati ) ni Meya wa jiji hilo,Kalisti Lazaro na Mkurugenzi wa maduka ya Vodacom jijini humo,Theobald Mworia.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...