KATIKA kusherekea siku ya Wanawake duniani Benki ya CRDB tawi la Mlimani City washerekea siku hiyo na wanawake wenye kaunti za MALKIA katika tawi hilo siku hiyo ya wanawake hufanyika Machi 8 kila mwaka.
 Keki na vinjwaji mbalimbali ambayo imeandaliwa na wafanyakazi wanawake wa benki ya CRDB  tawi la Mlimani City jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuadhimisha siku ya wanawake duniani ambayo hufanyika  Machi 8 kila mwaka.
  Mgeni rasmi Anna Jeremiah Kaaya akikata keki pamoja na wateja mbalimbali wa benki ya CRDB  tawi la Mlimani City jijini Dar es Salaam kwaajili ya kusherekea siku ya wanawake duniani ambayo hufanyika Machi 8 kila mwaka. 
Meneja huduma kwa wateja wa benki ya  CRDB tawi la Mlimani City, Catherine Momburi akikabidhi zawadi kwa wateja wanawake wenye akaunti ya MALKIA katika tawi hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...