Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Everist Ndikilo akimjulia hali Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, Ibrahim Matovu katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa ,Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) anapo endelea kupatiwa huduma, Dar es Salaam leo, ambapo anatarajiwa kuruhusiwa kutokana na haliyake kuendelea vizuri. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA )
 Diwani wa Kata ya Kilomo, Bagamoyo, Hassan Usinga (Wembe) akimjulia hali Afisa Maendeleo ya Jamii ya Bagamoyo Julius Mwanganda mara alipofika katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa ,Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) anapopatiwa matibabu kutokana na ajali mbaya iliyotokea mkoani  humo hivi karibuni
 Diwani wa Kata ya Maboga iliyopo wilaya ya Iringa Vijijini mkoani Iringa, Vemi Chambala akimsimulia   Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Everist Ndikilo (aliyefunga mikono) wakati alipofika katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa ,Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI)  Muhimbili, kuwajulia hali majeruhi wa ajali ya Bagamoyo  ambapo wanapata matibabu kutokana na ajali mbaya iliyotokea mkoani humo
 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Everist Ndikilo, akimjulia hali Afisa Maendeleo ya Jamii ya Bagamoyo Julius Mwanganda

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...