Familia ya Ruhuza inasikitika kutangaza kifo cha mzee wao askofu Christopher Ruhuza kilichotokea siku ya jumapili tar 6 march 2016 mkoani kigoma. Mazishi yanategemea kufanyika siku ya ijumaa tar 11 march 2016 kijijini kwake mabawe ngara. Habari ziwafikie ndugu jamaa na marafiki waliopo nje na ndani ya nchi. Bwana alitoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...