Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf mwenye mkasi akijiandaa kukata utepe kuashiria kulizindua Tawi la Bank Of Africa Zanzibar lilioko katika barabara ya Mlandege.kushoto Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Balozi Mwanaidi Maajar.
Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf Mzee na Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bank Of Africa wakishiriki katika kukata utepe kulizindua rasmin Tawi la Bank Of Africa Zanzibar, uzinduzi huo umefanyika Zanzibar.
Wageni Waalikwa na Wajumbe wa Bodi na Maofisa wa Bank Of Africa wakishangilia Uzinduzi huo wa Tawi lao la Banki Zanzibar.
Wajumbe
wa Bank Of Africa wakiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Bank Of Africa Nchini
Tanzania Bwa. Ammish Owusu-Amoah, katikati wakizungumza wakimsubiri
Mgeni rasmin Waziri wa Fedha Zanzibar.
Mwenyekiti
wa Bodi ya Bank Of Africa Tanzania Balozi Mwanaidi Maajar akisalimiana
na Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf Mzee alipowasili katika
viwanja vya Bank hiyo hapo mlandege kwa ajili ya Uzinduzi wa Bank hiyo.
Waziri
wa Fedha Zanzibar akizungumza na Wajumbe wa Bodi ya Bank Of Africa
alipowasili katika eneo hilo. akiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya BOA, Balozi
Mwanaidi Maajar.
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...