Mkuu wa Wilaya ya Iringa Richard Kasesela alimuwakilisha Mkuu wa mkoa katika mazishi mke wa Mkuu wa mkoa mstaafu Mh Erasto Mbwillo; Afisa Elimu Mbeya Vijijini Mama Margareth Mgimwa Mbwilo. Msiba huo uliondeshwa na Makamu Mkuu wa Chuo Padri Dr Mgimwa pia uliudhuriwa na Jaji Mkuu Chande Othman; Mtendaji Mkuu wa Mahakama Bwana Katanga; Mkuu wa Mkoa Simiyu Bwana Anthony Mtaka, Wakuu wa wilaya Makete- Mh Daud Yassin, Rungwe Mh Zainab Mbiro na Songea Mh Mpesya pamoja na viongozi wengine wengi wakiwemo wastaafu wakiongozwa na Mkuu wa mkoa mstaafu Mh Abbas Kandoro
  Mkuu wa Wilaya ya Iringa Richard Kasesela akimfariji Mkuu wa mkoa mstaafu Mh Erasto Mbwillo
 Jaji Mkuu Mhe Mohamed Chande Othman akimpa pole  Mkuu wa mkoa mstaafu Mh Erasto Mbwillo
 Waombolezaji msibani 
Makamu Mkuu wa Chuo Padri Dr Mgimwa akiendesha misa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...