Mpendwa Meryciana, 
Hakika umekuwa mwema, mkarimu, mwenye nidhamu na mwenye upendo kwa kila mtu, dada zako wapendwa na wadogo zako, mama, ndugu na jamaa wote.
Hakika wote tunakupenda na zaidi ya yote tunakutakia maisha marefu na yenye baraka tele. Ukafanikiwe yale yote ambayo ndio haja ya moyo wako, Mungu na akafungue milango yote ya baraka na akufanye uwe mwenye furaha katika maisha yako yote ya apa dunia na ata baadae.
 UWE NA MAISHA MAREFU SIKU ZOTE!!!!
KR na FAMILIA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Millennial! aka generation Y.

    ReplyDelete
  2. Happy birthday, you are beautiful too

    ReplyDelete
  3. Long live Meryciana.Happy born day to you.

    ReplyDelete
  4. Beauty is in the eye of the beholder!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...