Mpendwa wetu Pius Wilfred Shangali, leo ni miaka 8 tangu ulipotuacha katika simanzi isiyoweza kuelezeka kwa maneno wala vitendo, kwa mema yako, tutaendelea kukuenzi na kukumbuka hadi tutakapo kutana tena paradiso.
Unakumbukwa na wazazi wako Baba Wilfred Shangali na Mama Shangali, wadogo zako Theophil, John, Christer na Bertha pamoja na dada zako Jane na Suzy bila kuwasahau marafiki zako.
Tutakukumbuka daima Pius.
Pumzika kwa Amani.
Amin.
You was My Best Friend thank you for represent me there..
ReplyDelete