tupe maoni yako kupitia picha hizi mbili.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. The mdudu, baada ya kusikia JPM ameshinda so anajua fika maisha ya walala hoi hayata chezewa tena na MAFISADI ha ha ha chezea JPM wewe

    ReplyDelete
  2. Anajipa matumaini tu

    ReplyDelete
  3. Anashangilia goli la pili la Yanga la Haruna Niyonzima dhidi ya Mwadui jana 13.04.2016.

    ReplyDelete
  4. Anashangilia goli la pili la Yanga lililofungwa na Haruna Niyonzima dhidi ya timu ya Mwadui jana 13.04.2016.

    ReplyDelete
  5. Ushindi wa mchezo wa mpira

    ReplyDelete
  6. Hii ni staili yakuendesha hicho chombo anachokiendesha. Kwa kawaida inahitaji matendo kama hayo ili chombo kikubali matakwa yako! Kwahiyohashangilii kitu ila anaendesha hicho chombo.

    ReplyDelete
  7. Nadhani itakuwa ni 'swaga' zake katika kuliendesha hilo rikwama lake (mkokoteni) ukizingatia na bara bara pia ipo clear haina msongamano sana wa magari wala pita pita nyingi za watu, hivyo kufanya utendaji wa kazi yake uwe rakhisi bila uchovu wala nini hivyo inabidi ajipe self motivation ili aendelee kuwajibika kwa style hiyo ya kuruka ruka na kushangilia na kuifanya kazi ya siku nzima iwe nyepesi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...