"Baada ya kumalizika uchaguzi Mkuu na CCM kupewa idhini na wananchi kuunda serikali ya kuongoza nchini, sasa ilani hii ndiyo inayotekelezwa nchini kote" akisema Msemaji Mkuu wa CCM, Christpher Ole Sendeka huku akionyesha kitabu cha ilani hiyo, alipohutubia mkutano wa hadhara uliofanyika leo katika eneo la Bpmambuzi, Pasua mjini Moshi mkoani Kilimanjaro.
Mjumbe wa NEC na Ofisa Mwandamizi katika Idara ya Itikadi na Uenezi, Makao Makuu ya CCM, Kilumbe Ng'enda akizungumza kumsafishia njia Msemaji Mkuu wa CCM, Ole Sendeka katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo katika eneo la Bomambuzi, eneo la Pasua mjini Moshi mkoani Kilimanjaro
Wananchi wakimsikiliza Msemaji Mkuu wa CCM, Christpher Ole Sendeka alipohutubia mkutano wa hadhara uliofanyika leo katika eneo la Bpmambuzi, Pasua mjini Moshi mkoani Kilimanjaro
Wananchi wakimshangilia Msemaji Mkuu wa CCM, Christpher Ole Sendeka alipohutubia mkutano wa hadhara uliofanyika leo katika eneo la Bpmambuzi, Pasua mjini Moshi mkoani Kilimanjaro.
Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka akiwasili kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika eneo la Bomambuzi, Pasua mjini Moshi mkoani Kilimanjaro leo Mchana.
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...