Jiwe la msingi lililozinduliwa na Mh.Naibu waziri wa Ofisi ya makamu wa raisi muungano na mazingira Mh.Luhaga Mpina kata ya Madale jijin Dar es salaam kuashiria uanzishwaji wa kampeni ya upandaji miti nchini kote,       
 
 Naibu Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa raisi muungano na mazingira Mh.Luhaga Mpina akizindua rasimi jiwe la msingi la kampeni ya Upandaji miti Kitaifa jijini Dar es salaam,        
 
 Naibu waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa rais Muungano na Mazingira Mh.Luhaga Mpina akipanda mti katika kata ya Madale jijini Dar es salaam.   
 
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya makamu wa raisi Muungano na Mazingira akiongea na Waandishi wa Habari baada ya kushiriki zoezi la kupanda miti katika kata ya Madale jijini ikiwa ni sehemu ya kampeni kitaifa ya kupanda miti

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...