Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana Balozi
wa Vatican hapa nchini anayemaliza muda wake Francisco Montecillo Ikulu jijini
Dar es Salaam. Balozi huyo wa Vatican alifika Ikulu kwa ajili ya kuagana na
Rais Dkt. Magufuli mara baada ya kumaliza muda wake ya Ubalozi nchini.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
mgeni wake Balozi wa Vatican hapa nchini anayemaliza muda wake nchini Francisco
Montecillo.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
mgeni wake Balozi wa Vatican hapa nchini anayemaliza muda wake nchini Francisco
Montecillo.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Balozi
wa Vatican hapa nchini anayemaliza muda wake Francisco Montecillo Ikulu jijini Dar es Salaam.
Balozi
wa Algeria hapa nchini Belabed Saada akikabidhi ujumbe uliotoka kwa Rais wa
Algeria kuja kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli Ikulu jijini Dar es Salaam
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na
Balozi wa Canada hapa nchini Alexandre Leveque Ikulu jijini Dar es Salaam. Balozi
huyo wa Canada alifika Ikulu na ujumbe wake
kwa ajili ya kufanya mazungumzo na Rais Dkt. Magufuli
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha na
Balozi wa Canada hapa nchini Alexandre Leveque wapili kutoka kulia pamoja na
waakilishi wengine wa Serikali pamoja na Ubalozi wa Canada.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Balozi wa Canada hapa nchini
Alexandre Leveque mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es
Salaam. PICHA NA IKULU










Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...