Pichani ni Mshiriki wa Miss Mbeya 2016 Anitha Patric, Redio Dream FM 91.3 Mbeya kwa kushilikiana na Michuzi Blog, Pepsi, Ufunuo Clinic, Access Computer Limited, Viva Night Club, Milo Group Limited, New karim Hardware, City Pub, Paradise Inn Hotel, Club K-Mo, Ace Classic Wear, Ally Rich Sanaa Art, New Mama Land Pub na Manyanya Inn Hotel and Tours wanakuletea Miss Mbeya 2016, Anaetarajiwa kupatikana Ijumaa ya Tarehe Sita ya Mwezi wa Tano (06-05-2016) Mwaka huu Paradis Inn Hotel, Pia kutakuwa na Burudani Mbalimbali ikiwemo Shoo kali kutoka kwa Mwanamuziki Izzo Bisnes na wasanii wanaofanya vizuri Nyanda za juu Kusini.
Eunice John moja kati ya Washiliki wa Miss Mbeya 2016
Julitha Mponela moja kati ya Washiliki wa Shindano la kumpata Miss Mbeya 2016.
Afrodisia Chapa miongoni mwa Washiliki wa Miss Mbeya 2016.
PICHA ZOTE NA MR,PENGO MMG MBEYA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...