Simu.tv: Kituo cha sheria na haki za binadamu nchini LHRC chazindua matokeo ya utafiti wa ripoti ya haki za binadamu Tanzania kwa mwaka 2015.https://youtu.be/ilFiU7xeTic

Simu.tv: Waziri wa habari, utamaduni, utalii na michezo alitaka shirika la utangazaji Zanzibar ZBC kusitisha matangazo ya mfumo wa analojia na kubaki katika mfumo wa digitali pekee. https://youtu.be/bt8q6Wh-Xi8

Simu.tv: Jamii visiwani Zanzibar yaaswa kuchukua tahadhari ya kutoishi maeneo hatarishi ili kuepuka maafa yanayoweza kujitokeza. https://youtu.be/zG7DE8v29ak  

Simu.tv: Baada ya Azam kushindwa kusonga mbele, kocha wa timu hiyo na nahodha wake wamesema walijitahidi lakini mchezo haukua bahati yaohttps://youtu.be/2f63QySNOHo  

Simu.tv: Serikali imeyataka makampuni yanayozalisha bidhaa hapa nchini kusajili nembo za bidhaa zao ili kuweza kupata takwimu sahihi ya bidhaa za Tanzania.https://youtu.be/Cm-hhAHYKdE    

Simu.tv: Gari dogo aina ya noah limetumbukia bahari ya hindi leo alfajiri na kusababisha vifo vya watu wawili. https://youtu.be/39Bxg1HzEf4  

Simu.tv: Taasisi ya GSM imejitolea kusaidia upasuaji wa watoto wenye vichwa vikubwa na mgogo wazi kwa kuwafuata kule walipo. https://youtu.be/m5aoA6vmAuI  

Simu.tv: Taasisi ya Habibu imejitolea vifaa vya ofisi makao makuu ya polisi wilaya ya Mwanga pamoja na msaada wa mabenchi katika kituo cha afya.https://youtu.be/V0MCx4cUSE8  

Simu.tv: Halmashauri ya manispaa ya Ilala Imewasimisha kazi wahandisi waliokua wakisimamia ujenzi wa barabara za manispaa hiyo baada ya kujengwa chini ya kiwango. https://youtu.be/Ynm4eKErpfY  

Simu.tv: Shirika la hifadhi za taifa TANAPA limejipanga kuanzisha kampeni ya ufanyaji usafi katika mlima Kilimanjaro. https://youtu.be/7WcQpog7RX0
   
Simu.tv: Baraza la uwezeshaji wananchi kiuchumi limeipongeza kampuni ya START OIL Kwa juhudi zake za kuwezesha vijana kutoka mikoa ya Lind na Mtwara.https://youtu.be/HhhbpSQZn_k  

Simu.tv: Wafanyakazi wa kujitolea 43 kutoka Marekani wameapishwa ili kwenda kufundisha shule za sekondari vijijini. https://youtu.be/S74vHMgNHOY

Simu.tv: Watu wawili wafariki dunia jijini Dar es salaam leo baada ya gari walilokua wakisafiria kuserereka kutoka katika Panton na kuingia Baharini;https://youtu.be/6LgIwjyE7g8

Simu.tv: Rais Magufuli amteua Mhandisi Paskasi Muragili kuwa mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya ustawishaji makao makuu Dodoma; https://youtu.be/YN2xXImmhLc

Simu.tv: Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amos Makala wataka vyombo vya usalama na TAKUKURU kuhakikisha ndani ya siku 28 kukamilisha uchunguzi wa ufisadi soko la Mwanjelwa; https://youtu.be/hTh4_gGylJ0

Simu.tv: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aongoza mamilia ya wananchi mkoani Dodoma katika mazishi ya Askofu; https://youtu.be/t5SFVleGHLE

Simu.tv: Wabunge wa Bunge la Afrika watembelea soko la samaki la Ferry na kuwahamasisha wafanyabiashara kutumia fursa zilizopo afrika mashariki;https://youtu.be/FDZaGhOELLc

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...