Simu.tv: Kituo cha sheria na haki za binadamu nchini LHRC chazindua matokeo ya utafiti wa ripoti ya haki za binadamu Tanzania kwa mwaka 2015.https://youtu.be/ilFiU7xeTic
Simu.tv: Waziri wa habari, utamaduni, utalii na michezo alitaka shirika la utangazaji Zanzibar ZBC kusitisha matangazo ya mfumo wa analojia na kubaki katika mfumo wa digitali pekee. https://youtu.be/bt8q6Wh-Xi8
Simu.tv: Jamii visiwani Zanzibar yaaswa kuchukua tahadhari ya kutoishi maeneo hatarishi ili kuepuka maafa yanayoweza kujitokeza. https://youtu.be/zG7DE8v29ak
Simu.tv: Baada ya Azam kushindwa kusonga mbele, kocha wa timu hiyo na nahodha wake wamesema walijitahidi lakini mchezo haukua bahati yaohttps://youtu.be/2f63QySNOHo
Simu.tv: Serikali imeyataka makampuni yanayozalisha bidhaa hapa nchini kusajili nembo za bidhaa zao ili kuweza kupata takwimu sahihi ya bidhaa za Tanzania.https://youtu.be/Cm-hhAHYKdE
Simu.tv: Gari dogo aina ya noah limetumbukia bahari ya hindi leo alfajiri na kusababisha vifo vya watu wawili. https://youtu.be/39Bxg1HzEf4
Simu.tv: Taasisi ya GSM imejitolea kusaidia upasuaji wa watoto wenye vichwa vikubwa na mgogo wazi kwa kuwafuata kule walipo. https://youtu.be/m5aoA6vmAuI
Simu.tv: Taasisi ya Habibu imejitolea vifaa vya ofisi makao makuu ya polisi wilaya ya Mwanga pamoja na msaada wa mabenchi katika kituo cha afya.https://youtu.be/V0MCx4cUSE8
Simu.tv: Halmashauri ya manispaa ya Ilala Imewasimisha kazi wahandisi waliokua wakisimamia ujenzi wa barabara za manispaa hiyo baada ya kujengwa chini ya kiwango. https://youtu.be/Ynm4eKErpfY
Simu.tv: Shirika la hifadhi za taifa TANAPA limejipanga kuanzisha kampeni ya ufanyaji usafi katika mlima Kilimanjaro. https://youtu.be/7WcQpog7RX0
Simu.tv: Baraza la uwezeshaji wananchi kiuchumi limeipongeza kampuni ya START OIL Kwa juhudi zake za kuwezesha vijana kutoka mikoa ya Lind na Mtwara.https://youtu.be/HhhbpSQZn_k
Simu.tv: Wafanyakazi wa kujitolea 43 kutoka Marekani wameapishwa ili kwenda kufundisha shule za sekondari vijijini. https://youtu.be/S74vHMgNHOY
Simu.tv: Watu wawili wafariki dunia jijini Dar es salaam leo baada ya gari walilokua wakisafiria kuserereka kutoka katika Panton na kuingia Baharini;https://youtu.be/6LgIwjyE7g8
Simu.tv: Rais Magufuli amteua Mhandisi Paskasi Muragili kuwa mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya ustawishaji makao makuu Dodoma; https://youtu.be/YN2xXImmhLc
Simu.tv: Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amos Makala wataka vyombo vya usalama na TAKUKURU kuhakikisha ndani ya siku 28 kukamilisha uchunguzi wa ufisadi soko la Mwanjelwa; https://youtu.be/hTh4_gGylJ0
Simu.tv: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aongoza mamilia ya wananchi mkoani Dodoma katika mazishi ya Askofu; https://youtu.be/t5SFVleGHLE
Simu.tv: Wabunge wa Bunge la Afrika watembelea soko la samaki la Ferry na kuwahamasisha wafanyabiashara kutumia fursa zilizopo afrika mashariki;https://youtu.be/FDZaGhOELLc
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...