Watu 3 wafariki dunia na wengine kujeruhiwa baada ya gari aina ya Prado lililokuwa likitokea Tabora kwenda Mwanza kupinduka. https://youtu.be/Yr8XDr_KIZA

Mahakama ya hakimu mkazi ya Kisutu ya jijini Dar es salaam yasongeza mbele uamuzi juu ya ombi la kuondoa shitaka la utakatishaji fedha linalowakabili aliyekuwa mkurugenzi wa zamani wa TRA Harry Kitilya na wenzake wawili.https://youtu.be/5SZmvACOK0g   

Wamiliki na madereva wa daladala mkoani Morogoro wamendelea kugoma baada kutoridhishwa na utendaji kazi wa afisa mfawidhi wa SUMATRA kwa madai ya kuwatoza faini mara mbili. https://youtu.be/Cgoo_31LNn8

Wakazi zaidi ya elfu arobaini kutoka wilayani karatu wanapata maji safi na salama kutoka msitu wa Ngorongoro jambo ambalo limetoa fursa ya maendeleo kwa wakazi hao. https://youtu.be/SutZM-sSnmI
   
Mamlaka ya chakula na dawa TFDA imekamata shehena kubwa ya vipodozi vyenye viambata vya sumu katika maduka ya vipodozi eneo la Kariakoo jijini Dar es Salaam.https://youtu.be/mhuhoN7QOdk 
  
Watu kumi na saba kati ya mia sita waliochukuliwa vipimo vya magonjwa yasiopewa kipaumbele wamebainika kuwa na ugonjwa wa vikope.https://youtu.be/Se5CGAq3MbA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...