Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salaam lafanikiwa kumtia mbaroni jambazi sugu akiwa na silaha mbili huku moja ya silaha hizo ikiwa imefichwa kwa rafiki yake wa kike.https://youtu.be/CQpi9eWwGOY
Baadhi ya miundombinu ya mabomba ya kusafirishia maji visiwani Zanzibar yaharibiwa vibya na mvua zinazoendelea kunyesha visiwani humo. https://youtu.be/43S8ABP6mhs
BOFYA HAPA KWA HABARI ZAIDI
BOFYA HAPA KWA HABARI ZAIDI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...