Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salaam lafanikiwa kumtia mbaroni jambazi sugu akiwa na silaha mbili huku moja ya silaha hizo ikiwa imefichwa kwa rafiki yake wa kike.https://youtu.be/CQpi9eWwGOY
 Baadhi ya miundombinu ya mabomba ya kusafirishia maji visiwani Zanzibar yaharibiwa vibya na mvua zinazoendelea kunyesha visiwani humo. https://youtu.be/43S8ABP6mhs

BOFYA HAPA KWA HABARI ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...