Kamera ya Globu ya Jamii, wikiendi hii ilizuru katika Ufukwe wa Kawe Bichi Jijini Dar na kubahatika kuzinasa taswira hizi mwanana kabisa.



Samaki wakiparwa mara baada ya kutoka kuvuliwa, ambapo kila ifikapo Jioni huwa kunakuwa na Mnada wa Samaki katika ufukwe huu wa Kawe.
Mdau akila Tizi Ufukweni.
Muonekani kwa upande mwingine wa Ufukwe.
  Chombo kikirejea.
Chombo kimepaki baada ya safari ndefu ya Baharini katika Uvuvi.
Mdau akitabaruku ufukweni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Kiongozi ungetia neno kuhusu uchafu huo uliotamalaki hapo, uchafu huo umaharibu mandhari yote ya fukwe!!!

    ReplyDelete
  2. Wabongo tunatia aibu! ufukweni mbona kuchafu hivyo????

    ReplyDelete
  3. Hizi ni taswira za uchafuzi wa mazingira na sio mwanana. Fukwe zinahitaji usafi wa kila siku.

    ReplyDelete
  4. Pwani nzuri ila huo UCHAFU! Mifuko ya nailoni inachafua sana mazingira.

    ReplyDelete
  5. Ufukwe mchafu hivi kunawahusika au inabidi kutoza pesa ili kuajiri wasafisha fukwe. Athari kwa viumbe majini inaweza kuwepo hasa kutupa plastiki. Wahusika wasafishe fukwe.

    ReplyDelete
  6. Ufukwe mzuri, ila ni bora wahusika wasimamie usafi wa mara kwa mara

    ReplyDelete
  7. Huo uchafu wote ufukweni. Kweli tubadilike Kama anavotuasa Rais Magufuli. Ufukwe gani huo?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...