Kamishina Msaidizi wa Ustawi wa Jamii, Beatrice Fungamo (kushoto), akimkabidhi cheti cha shukrani Rais wa Lions Club of Dar es Salaam Mzizima kwa kufanikisha maadhimisho hayo.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), Joel Laurent akizungumza wakati wa matembezi ya hiari ya kuadhimisha siku ya watoto wenye Usonji.
Kamishina Msaidizi wa Ustawi wa Jamii, Beatrice Fungamo (kushoto), akizungumza wakati wa matembezi ya hiari ya kuadhimisha siku ya watoto wenye usonji yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Kamishina Msaidizi wa Ustawi wa Jamii, Beatrice Fungamo (katikati), akiwasili katika viwanja vya Shule ya Msingi Msimbazi Mseto jijini Dar es Salaam baada ya kushiriki matembezi ya hiari ya kuadhimisha siku ya Watoto wenye Usonji yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. 
Kamishina Msaidizi wa Ustawi wa Jamii, Beatrice Fungamo (kushoto), akipeana mkono na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), mara baada ya kushiriki matembezi ya hiari ya kuadhimisha siku ya watoto wenye usonji yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. Katikati ni Mwenyekiti wa Chama cha Kuhudumia Watu Wenye Usonji Tanzania (NAPAT), Dk. Stella Rwezaula.

Kamishina Msaidizi wa Ustawi wa Jamii, Beatrice Fungamo (kushoto), akipeana mkono na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), mara baada ya kushiriki matembezi ya hiari ya kuadhimisha siku ya watoto wenye usonji yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. Katikati ni Mwenyekiti wa Chama cha Kuhudumia Watu Wenye Usonji Tanzania (NAPAT), Dk. Stella Rwezaula.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...