Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akitoa hotuba kwa Waandishi wa Habari hawapo pichani kuhusiana na Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo yatafanyika tarehe 24/04/2016 Zanzibar.Mwengine  ni Naibu Waziri wa Afya Harusi Idi.
Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akitoa ufafanuzi wa maswala mbalimbali yalioulizwa katika mkutano wake na Waandishi wa Habari akielezea kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani yatakayofanyika Tarehe 24/04/2016 Zanzibar.PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.
 Baadhi ya Waandishi wa Habari waliohudhuria katika Mkutano wa Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akizungumzia kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani yatakayofanyika Tarehe 24/04/2016 Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...