Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Mhe George Simbachawene akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Mhe.  Paul Makonda  nyaraka za jengo la Machinga Complex (pichani juu) baada ya kuvunja bodi  ya jengo hilo mapema leo kwa kushindwa kazi, na kutangaza kuwa amelikabidhi jengo hilo kwa Mkuu wa Mkoa  leo jijini Dar es Salaam. Jengo hilo lilijengwa mahususi kwa ajili ya wafanyabiashara ndogondogo (Machinga) ili kuwaondoa mabarabarani na kupunguza msongamano wa Wamachinga mitaani, lengo ambalo Bodi iliyovunjwa imeelezwa kuwa ilishindwa kutimiza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...