Marehemu Askofu mstaafu Christopher Ruhuza

02/02/1922 - 06/03/2016

Familia ya Marehemu Askofu Mstaafu Christopher Gwassa RUHUZA wa Dayosisi ya Kanisa Anglikana Kagera, Ngara, inapenda kukualika kushirikiana nayo kwenye misa Maalum ya kumaliza msiba wa Baba/Babu yao CHRISTOPHER RUHUZA aliyefariki tarehe 06/03/2016 na kuzikwa tarehe 11/03/2016 Kanisa Kuu Anglikana Murugwanza Ngara.
Misa hiyo kwa Dar es Salaam itafanyika Kanisa Anglikana St Albans iliyopo maeneo ya Posta mpya katikati ya Mji.
Misa itafanyika Jumamosi, tarehe 14/05/2016, saa tatu na nusu asubuhi.
Ushiriki wako kwenye misa ni faraja kubwa sana kwetu.
Mungu akubariki sana.

Zaburi 23.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...