Mwenge
wa Uhuru ukiwasili kwenye uwanja wa mpira wa Mchinga I,wilaya ya Lindi
vijijini ambapo ulizindua miradi mbalimbali ya kimaendeleo katika
Majimbo mawili wa wilaya hiyo, jimbo la Mchinga na jimbo la Mtama.
Viongozi mbali mbali wakiwa wamesimama tayari kuupokea Mwenge wa Uhuru katika wilaya ya Lindi Vijijini
Mkimbiza Mwenge wa Uhuru Bw. George Jackson kitaifa akizindua mradi wa maji katika shule ya msingi Mchinga I.
Mbunge
wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na
Michezo Mhe. Nape Nnauye pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe. Yahaya
Nawanda wakiwaongoza waongoza Mwenge wa Uhuru kitaifa kupita juu ya
daraja lililofunguliwa rasmi na kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa,
Daraja hili linawaunganisha wakazi wa Mchinga II na Mchinga I.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...