Ras Makunja (pichani juu) kiongozi wa Ngoma Africa band akiwa kazini. Bendi hii almaarufu kama FFU Ughaibuni imetajwa ni bendi hiliyovuka dhoruba na kushika chati ulaya kianzo kimoja maarufu cha habari barani ulaya AFRONEWS kimeitaja bendi hiyo kuwa imejijengea ngome imara na kuwashika washabiki wa kimataifa kisawa sawa soma zaidi bofya link chini
How Ngoma Africa Band has survived the storm to become one of the most sought-after African bands in Germany http://www.afronews.de/ entertainment/ngoma-africa- band-survived-storm-become- one-sought-african-bands- germany/
Kikosi kizima cha Ngoma Africa band
Ngoma Africa band katika gwaride
Malkia wa Ngoma Africa band kazini
Gwaride la Ngoma Africa band si mchezo. Hatumwi mtoto dukani...






Viumbe wa ajabu Ngoma Afrika band aka FFU-ughaibuni bin watoto wa mbwa wazee wa kukata na kufunua
ReplyDeletehaya jamaa inamaana wanafanya kweli ! miaka 23 kuwepo ktk gemu siyo mchezo inamaana mbinu zote chafu na safi za music industry wanazo?
ReplyDelete