Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Irene Isaka, akimpatia maelezo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli wakati alipotembelea banda la mamlaka hiyo, katika maonesho ya maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (May Day), viwanja vya Jamhuri Mjini Dodoma jana.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli, akimsalimia Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano cha Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Sarah Kibonde, wakati alipotembelea banda la mamlaka hiyo, katika maonesho ya maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (May Day), viwanja vya Jamhuri Mjini Dodoma jana. Kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli, akiwasalimia baadhi ya Maofisa wa Mamlaka hiyo, alipotembelea banda la mamlaka hiyo, katika maonesho ya maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (May Day), viwanja vya Jamhuri Mjini Dodoma jana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...