Mkurugenzi
Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii
(SSRA), Irene Isaka, akimpatia maelezo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dk. John Magufuli wakati alipotembelea banda la mamlaka hiyo,
katika maonesho ya maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (May Day),
viwanja vya Jamhuri Mjini Dodoma jana.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli, akimsalimia Mkuu
wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano cha Mamlaka ya Usimamizi na
Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Sarah Kibonde, wakati
alipotembelea banda la mamlaka hiyo, katika maonesho ya maadhimisho ya
Siku ya Wafanyakazi Duniani (May Day), viwanja vya Jamhuri Mjini Dodoma
jana. Kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi,
Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli, akiwasalimia baadhi ya Maofisa wa Mamlaka hiyo, alipotembelea banda la mamlaka hiyo, katika maonesho ya maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (May Day), viwanja vya Jamhuri Mjini Dodoma jana.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli, akiwasalimia baadhi ya Maofisa wa Mamlaka hiyo, alipotembelea banda la mamlaka hiyo, katika maonesho ya maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (May Day), viwanja vya Jamhuri Mjini Dodoma jana.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...