Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 03, 2016

    mazingira ya kazi hatarishi. hii ni kukiuka viwango vya mazingira ya kazi. wizara ya kazi na mazingira wako wapi? hakuna hata vifaa ama nguo? mbona tunapunguza maisha yake na kuhatarisha familia yake jamani? so sad!

    ReplyDelete
  2. Sub'handallah! Yaani kuzibuwa tu huko utadhani mtu anazamia lulu..?! Kweli hata akishaitia mkononi hiyo rizki yake, basi ni ya halali kabisaaa! Hata mtu akimdhulumu basi itamtokea puani kwa kweli. Mana na hilo tope la hapo huo uvundo wake na hayo maji sijuwi ni ya chemba ipi Yailahi. Pole sana ndugu yangu ipo siku Mwenyeez Mungu atakuinuwa na kukusahaulisha mapitio yote hayo, usikate tamaa katika kutarazzak ipo siku, In Sha Allah.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 03, 2016

    huyu hana akili

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 03, 2016

    Duh! Anahatarisha afya yake, na maisha yake katika uzibuaji wa sampuli hii.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...