Mkuu wa mkoa wa RUVUMA SAID MWAMBUNGU amemsimamisha kazi afisa utumishi wa Halamashauri ya wilaya ya SONGEA Mkoani humo PHILBERT MTWEVE kwa kosa kuwalipa mishahara watumishi hewa 8 na kuisababishia hasara serikali zadi ya milioni 27. Story kamili hii hapa chini kupitia Ruvuma TV

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...