JULIANA BANKOLWA MASHIBA
1934-2015
Mwaka mmoja umepita tangu mama yetu mpendwa ulipoitwa na mwenyezi Mungu tarehe 04 Mei, 2015 na kupumzishwa Kisesa, Mwanza siku ya tarehe 07 Mei, 2015. Umetuacha katika majonzi makubwa lakini tukiwa na matumaini ya kuonana tena na tukimtukuza Mungu pamoja na Malaika na Watakatifu wote Mbinguni.
Hatutasahau upendo, ucheshi, upole, hekima, bidii yako, Moyo wa kujitoa kuwahudumia wengine na kutopenda makuu.Unakumbukwa na Mume wako mpendwa Martin, watoto wako Leah, Ben, Thobias, Sophia, Francis, Evarist, Venance, Renatus, George, na Leocadia, Wakwe zako, Wajukuu, Ndugu, Jamaa na Marafiki.
Familia itatoa sadaka ya shukrani katika ibada itakayofanyika siku ya Jumamosi tarehe 7 Mei, 2016 saa 3 Asubuhi Nyumbani kwa Mzee Martin Mashiba, Kisesa-Mwanza.
1934-2015
Mwaka mmoja umepita tangu mama yetu mpendwa ulipoitwa na mwenyezi Mungu tarehe 04 Mei, 2015 na kupumzishwa Kisesa, Mwanza siku ya tarehe 07 Mei, 2015. Umetuacha katika majonzi makubwa lakini tukiwa na matumaini ya kuonana tena na tukimtukuza Mungu pamoja na Malaika na Watakatifu wote Mbinguni.
Hatutasahau upendo, ucheshi, upole, hekima, bidii yako, Moyo wa kujitoa kuwahudumia wengine na kutopenda makuu.Unakumbukwa na Mume wako mpendwa Martin, watoto wako Leah, Ben, Thobias, Sophia, Francis, Evarist, Venance, Renatus, George, na Leocadia, Wakwe zako, Wajukuu, Ndugu, Jamaa na Marafiki.
Familia itatoa sadaka ya shukrani katika ibada itakayofanyika siku ya Jumamosi tarehe 7 Mei, 2016 saa 3 Asubuhi Nyumbani kwa Mzee Martin Mashiba, Kisesa-Mwanza.
Raha ya Milele Umpe Ee Bwana na Mwanga wa Milele umwangazie, Apumzike kwa Amani. Amina
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...