BENKI ya CRDB tawi la Mlimani City jijini Dar es Salaam wamewapa semina wateja wajasiliamali wa benki hiyo kuhusu huduma za kibenki kwa njia ya Mtandao yaani Internet Banking.
Huduma ya Internet Banking itawajengea uwezo wajasiliamali hao katika nyanja mbalimbali kama vile kuwalipa mshahara wafanyakazi wake, kuangalia jumala ya mapata waliyanayo kwenye akaunti yake pamoja na kuangali jinsi pesa ilivyowekwa na kutolewa katika akaunti yako kwa njia ya mtandao wa Interneti.
Baadhi wajasiliamali wakimsikiliza Meneja huduma za kibenki kwa njia ya mtandao ya kieletroniki, Mangire Kibanda katika semina iliyoandaliwa na wafanyakazi wa CRDB tawi la Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...