BENKI ya CRDB tawi la Mlimani City jijini Dar es Salaam wamewapa semina wateja wajasiliamali wa benki hiyo kuhusu huduma za kibenki kwa njia ya Mtandao yaani Internet Banking. 

Huduma ya Internet Banking itawajengea uwezo wajasiliamali hao katika nyanja mbalimbali kama vile kuwalipa mshahara wafanyakazi wake, kuangalia jumala ya mapata waliyanayo kwenye akaunti yake pamoja na kuangali jinsi pesa ilivyowekwa na kutolewa katika akaunti yako kwa njia ya mtandao wa Interneti.
Baadhi wajasiliamali wakimsikiliza Meneja huduma za kibenki kwa njia ya mtandao ya kieletroniki, Mangire Kibanda katika semina iliyoandaliwa na wafanyakazi wa CRDB tawi la Mlimani City jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...