Meneja wa Taasisi ya Karimjee Jivanjee, Devotha Rubama (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi Mwenyekiti wa Taasisi ya Tushikamane Pamoja inayoshughulika na kutoa huduma kwa wazee, Rose Mwapachu wakati wa hafla ya kuchangisha fedha kuisaidia taasisi hiyo jijini Dar es Salaam jana (katikati) ni Meneja Mahusiano na Mauzo wa Toyota Tanzania, Kadiva William
Meneja wa Taasisi ya Karimjee Jivanjee, Devotha Rubama (katikati) akisalimiana na Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi wakati wa hafla ya kuchangisha fedha kuisaidia taasisi Tushikamane Pamoja jijini Dar es Salaam jana (kulia) ni Meneja Mahusiano na Mauzo wa Toyota Tanzania, Kadiva William. Taasisi ya Karimjee Jivanjee ilichangia shilingi milioni 10.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...