Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala wa Mamlaka ya Mapato Tanzania
(TRA), Bw. Victor Kimaro (wa kwanza kushoto) akizugumza na wadau
mbalimbali (hawapo pichani) juu ya uwezo wao wa kumudu ukusanyaji wa
kodi vizuri ili waweze kufanikisha vizuri malengo waliyo jiwekea mwaka
huu. Pia aliwashukuru (ITA) kwa kujitolea kutoa elimu kwa wawekezaji
wote wanaofika hapa nchini iliwaweze kulipa kodi wanapo wekekeza hapa
nchini. alizungumza hayo Siku ya maadhimisho ya sherehe ya siku ya
kodi zilizofanyika kwenye ukumbi wa mikutano (TRA) Mwenge jijini Dar es
Salaam 2016
Mdau
akifafanua jambo kwenye sherehe ya siku ya kodi zilizofanyika kwenye
ukumbi wa mikutano (TRA) Mwenge jijini Dar es Salaam 2016.
Sehemu
ya wadau mbalimbali waliohudhuria hizo wakimsikiliza Mkurugenzi wa
Rasilimali Watu na Utawala wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw.
Victor Kimaro kwenye sherehe ya siku ya kodi zilizofanyika kwenye
ukumbi wa mikutano (TRA) Mwenge jijini Dar es Salaam 2016.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...