Basi la DART likiwa limegongwa na gari  ndogo leo asubuhi katika makutano ya barabara ya Samora na Morogoro jijini Dar es salaam na kuzua mtafaruku mkubwa na mshangao.
 Dereva akiripoti ajali makao makuu
Jana Magomeni Mapipa kijana mmoja aligonga basi la UDART wakati akivuka. Chini ni taswira iliyosambaa mitandaoni bila maelezo ya kina ila inaonesha kuloikuwa na tatizo 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Hapo makutano ya Samora na Morogoro road kama hawajachukua hatua za haraka patatokea maafa makubwa kwa kuwa hakujawekwa taa za kuongozea, kwahiyo kila mmoja anajiona ana haki.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 18, 2016

    Alieturoga watanzania kafa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...