Mechi ya kirafiki iliyochezwa jumapili ya Juni 06, 2016 baina ya EFM redio na bongo fleva imevutia mashabiki wapande zote mbili ambapo EFM ilishinda kwa magoli 4-3 dhidi ya Bongo Fleva
Mechi hiyo iliyopigwa katika Uwanja wa Tanganyika Packas, Kawe Jijini Dar es salaam, ililenga kuimarisha afya, kukuza urafiki uliopo kati ya EFM redio na wasanii wa bongo fleva pamoja na kufahamiana zaidi.
Kikosi kamili cha EFM REDIO.
Kikosi cha BONGO FLEVA FC.
Kiungo mchezeshaji wa timu ya Bongo Fleva Fc, KR Mullah Jibaba akiangalia namna ya kumkabili Mshambuliaji wa timu ya EFM REDIO.
Mtanange ukiendelea huku mshike mshike ukiwa kwa pande zote.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...