Balozi wa Mfuko wa GEPF,Rose Ndauka akielezea majukumu yake kama balozi na msanii wa filamu katika kuyaunganisha makundi mbalimbali ya kijamii kujiunga na Mfuko wa GEPF. Meneja Masoko na huduma kwa wateja wa Mfuko wa GEPF, Aloyce Ntukamazina.
Balozi wa Mfuko wa GEPF, Rose Ndauka akikabidhi rasmi zawadi hizo kwa mwenyekiti wa kikundi huku akishuhudiwa na Mkuu wa Kitengo cha Masoko Bw Aloyce Ntukamazina. Kulia ni Meneja Masoko na huduma kwa wateja wa Mfuko wa GEPF, Aloyce Ntukamazina 
Katibu wa kikundi cha Tanzanite Disabled, Saidi Machako akitoa neno la shukurani kwa ujumbe kutoka GEPF kwa msaada wa baiskeli za kutembelea walizozipata, ambazo zitawasaidia katika shughuli zao za kila siku.
Pichani wasanii wa kikundi cha ngoma cha Tanzanite Group wakitoa burudani kwa wageni wao kabla ya kupokea msaada huo.
Mmoja wa wanufaika wa msaada huo akifurahia zawadi hizo na Rose Ndauka.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...