Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Phillip Mpango akiwasilisha bungeni Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016 na Mwelekeo wa Mpango wa Taifa wa Maendeleo kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017.
Kusoma hotuba hiyo kwa Kiingereza BOFYA HAPA
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango akionyesha mkoba wenye bajeti ya serikali kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma leo Juni 8, 2016. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango akionyesha mkoba wenye bajeti ya serikali kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma leo Juni 8, 2016. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...