Mfanyabiashara wa Miwa maharufu kutoka Santamalia Matai Mkoani Rukwa akiwa na Kipando chake ambacho anakiaminia kusafirishia Miwa yake kupeleka kwa Wateja wake.
Mdau mwengine ambae pia ni mfanyabiashara ya Miwa akikokota kipando chake kuelekea Sokoni kwa wateja wake.
Miwa hiyoo ikindelea kukatiza eneo la Santamalia kama ilivyo ada kwa wafanyabiashara wa Miwa kwa eneo la Santamalia Matai Wilayani Kalambo Mkoani Rukwa.
Mdau akikatiza mbele ya Kipando cha muuza Miwa wa Matai
PICHA ZOTE NA MR.PENGO MMG.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 10, 2016

    Mwandishi hajui matumizi ya herufi kubwa na ndogo. Duu! kazi hasa!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...