Mfanyabiashara wa Miwa maharufu kutoka Santamalia Matai Mkoani Rukwa akiwa na Kipando chake ambacho anakiaminia kusafirishia Miwa yake kupeleka kwa Wateja wake.
Mdau mwengine ambae pia ni mfanyabiashara ya Miwa akikokota kipando chake kuelekea Sokoni kwa wateja wake.
Miwa hiyoo ikindelea kukatiza eneo la Santamalia kama ilivyo ada kwa wafanyabiashara wa Miwa kwa eneo la Santamalia Matai Wilayani Kalambo Mkoani Rukwa.
Mdau akikatiza mbele ya Kipando cha muuza Miwa wa Matai
PICHA ZOTE NA MR.PENGO MMG.
Mwandishi hajui matumizi ya herufi kubwa na ndogo. Duu! kazi hasa!
ReplyDelete