Na Zainab Nyamka
MWALIMU Hans Van De Pluijm ameonelea kutokana na mkanganyiko uliopo kuhusiana na beki wa kulia Hassan Kessy ameamua kumtumia beki kiraka Mbuyi Twite katika mchezo wa leo dhidi ya Mo bejaia na zaidi katika mazoezi ya mwisho jana usiku alimuweka Twite kucheza nafasi hiyo.
KIKOSI:
1: Deo Dida
2: Mbuyu Twite
3: Oscar Joshua
4: Kelvin Yondani
5: Vicent Bossou
6: Thabani Kamusoko
7: Simon Msuva
8: Harouna Niyonzima
9: Donald Ngoma
10: Hamic Tambwe
11: Deus Kaseke
SUBSTUTE:
- Ally Bathez
- Mwinyi Ngwali
- Pato Ngonyani
- Antony Matheo
- Juma Makapu
- Godfrey Mwashiuya
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...