Na Zainab Nyamka

MWALIMU Hans Van De Pluijm ameonelea kutokana na mkanganyiko uliopo kuhusiana na beki wa kulia Hassan Kessy ameamua kumtumia beki kiraka Mbuyi Twite katika mchezo wa leo dhidi ya Mo bejaia na zaidi katika mazoezi ya mwisho jana usiku alimuweka Twite kucheza nafasi hiyo. 

KIKOSI:

1: Deo Dida
2: Mbuyu Twite
3: Oscar Joshua
4: Kelvin Yondani
5: Vicent Bossou
6: Thabani Kamusoko
7: Simon Msuva
8: Harouna Niyonzima
9: Donald Ngoma 
10: Hamic Tambwe
11: Deus Kaseke

SUBSTUTE:

- Ally Bathez
- Mwinyi Ngwali
- Pato Ngonyani
- Antony Matheo
- Juma Makapu
- Godfrey Mwashiuya

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...