Imam
Qasim Ibn Khan kutoka nchini Marekani akiongea na jumuiya ya vijana wa
kiislam vyuo vikuu mikoa ya Pwani, Morogoro na Dar es Salaam katika
kongamano maalum la kukaribisha mwezi Mtukufu wa Ramadhan lililofanyika
jana jijini Dar es Salaam.
Imam
Qasim Ibn Khan kutoka nchini Marekani akisisitiza jambo kwa vijana
waliopo katika umoja wa wanafunzi wa kiislam wa vyuo vikuu (hawapo
pichani) wakati wa kongamano la vijana la kukaribisha Mwezi Mtukufu wa
Ramadhani
Vijana
wa TAMSYA mikoa ya Morogoro, Pwani na Dar es Salaam wakisikiliza kwa
makini mafundisho kutoka kwa mtoa mada mkuu wa kongamano la vijana Imam Qasim Ibn Khan(hayupo pichani) wakati wa kongamano hilo lililofanyika jana
Vijana
wa TAMSYA mikoa ya Morogoro, Pwani na Dar es Salaam wakisikiliza kwa
makini mafundisho kutoka kwa mtoa mada mkuu wa kongamano la vijana Imam Qasim Ibn Khan(hayupo pichani) wakati wa kongamano hilo lililofanyika jana
Imam
Qasim Ibn Khan kutoka nchini Marekani akitoa mada kwa vijana waliopo
katika umoja wa wanafunzi wa kiislam wa vyuo vikuu (hawapo pichani)
wakati wa kongamano la vijana la kukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Vijana wa TAMSYA mikoa ya Morogoro, Pwani na Dar es Salaam wakimsikiliza kwa makini Imam Qasim Ibn Khan alipokuwa akitoa mafundisho mbalimbali kuhusiana na dini ya kiislam katika kongamano la vijana lililofanyika jana
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...