Imam Qasim Ibn Khan kutoka nchini Marekani akiongea na jumuiya ya vijana wa kiislam vyuo vikuu  mikoa ya Pwani, Morogoro na Dar es Salaam katika kongamano maalum la kukaribisha mwezi Mtukufu wa Ramadhan lililofanyika jana jijini Dar es Salaam.
 Imam Qasim Ibn Khan kutoka nchini Marekani akisisitiza jambo kwa vijana waliopo katika umoja wa wanafunzi wa kiislam wa vyuo vikuu (hawapo pichani) wakati wa kongamano la vijana la kukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
  Vijana wa TAMSYA mikoa ya Morogoro, Pwani na Dar es Salaam wakisikiliza kwa makini mafundisho kutoka kwa mtoa mada mkuu wa kongamano la vijana Imam Qasim Ibn Khan(hayupo pichani) wakati wa kongamano hilo lililofanyika jana
  Vijana wa TAMSYA mikoa ya Morogoro, Pwani na Dar es Salaam wakisikiliza kwa makini mafundisho kutoka kwa mtoa mada mkuu wa kongamano la vijana Imam Qasim Ibn Khan(hayupo pichani) wakati wa kongamano hilo lililofanyika jana
 Imam Qasim Ibn Khan kutoka nchini Marekani akitoa mada kwa vijana waliopo katika umoja wa wanafunzi wa kiislam wa vyuo vikuu (hawapo pichani) wakati wa kongamano la vijana la kukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. 
  Vijana wa TAMSYA mikoa ya Morogoro, Pwani na Dar es Salaam wakimsikiliza kwa makini Imam Qasim Ibn Khan alipokuwa akitoa mafundisho mbalimbali kuhusiana na dini ya kiislam katika kongamano la vijana lililofanyika jana

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...