Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Nchemba , bungeni mjini Dodoma Juni 6, 2016.
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (kushoto) akiteta na Naibu wake, Dkt. Medard Kalemani, bungeni mjini Dodoma Juni 6, 2016.
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage (kushoto) akiteta na Waziri wa Elimu, Sayansi , Tekinolojia na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako, bungeni mjini Dodoma Juni 6, 2016.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye akisoma Azimio la Bunge kuridhia Mkataba wa Kimataifa wa Udhibiti wa Matumizi ya Dawa na Mbinu za kuongeza Nguvu Michezoni, bungeni mjini Dodoma Juni 6, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...