Mdau mwandamizi wa Globu ya Jamii Mindi Kasiga, ambaye ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali kwa Umma, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki baada ya kupokea Shahada ya Uzamili ya Diplomasia kwenye upande wa Usuluhishi wa Migogoro kutoka Chuo Kikuu cha Norwich kilichopo Northfield, Vermont Marekani.
Mindi Kasiga akipata picha ya kumbukumbu na mama yake Mama Christine Kasiga
Mindi Kasiga akiwa katika picha na mwanae Amara Tarimo
Hongera Mindi, ongeza biddi zaidi.
ReplyDelete