Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Godfrey Zambi akikagua miundombinu ya choo katika moja ya Shule ya Msingi Kongo Kata ya Joshoni Wilayani Nachingwea katika ziara yake aliyoifanya Kukagua Miradi ya Tasaf pamoja na Utengezaji wa Madawati Mkoani Lindi
 Mkuu wa Mkoa wa Lindi akikagua utekelezaji wa agizo la utengenezaji madawati ya shule wilayani Nachingwea
  Mkuu wa Mkoa wa Lindi akitoa maelekezo wakati akikagua utekelezaji wa agizo la utengenezaji madawati ya shule wilayani Nachingwea
 Mkuu wa Mkoa wa Lindi akiandika kwenye ubao kwa lengo la kuona kama ubao uliojengwa unaandikika vizuri Wilayani Nachingwea
Mratibu wa Tasaf Wilayani Nachingwea James Mbakile Akisoma Taarifa ya Utekelezaji wa Miradi ya Mfuko Huo kwa Mkuu wa Mkoa wa Lindi,Godfrey Zambi ambae anasikiliza kwa Umakini baada ya Kukagua Ujenzi wa Madarasa 2,Vyoo na Madawati 70 Miradi Uliogharimu shilingi Milioni 68.
Na Abdulaziz Video,Nachingwea,Lindi



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...