MWAKILISHI wa Jimbo la Malindi Mohamed Ahamada Salum pia ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Maliasili na Usafirishaji Zanzibar akizungumza na Msaidizi wa Sheha wa Shehiya ya Gulioni Amour Abdalla Amour (kulia) kabla ya kumkabidhi Msaada huo.
MWAKILISHI wa Jimbo la Malindi Mohamed Ahamada Salum akimkabidhi fedha taslimu (sh.1,300,000) Msaidizi wa Sheha wa Shehiya ya Gulioni Amour Abdalla Amour kwaajili ya ununuzi wa vifaa vya bomba la maji lilopasuka Mtaa Mfenesi Mazizi Shehiya ya Gulioni Mjini Zanzibar.
MSAIDIZI wa Sheha wa Shehiya ya Gulioni Amour Abdalla Amour akimshukuru Mwakilishi wa Jimbo hilo mara baada ya kukabidhiwa msaada huo.
MWAKILISHI wa Jimbo la Malindi Mohamed Ahamada Salum akijionea maji sehemu inayovujisha Hapo Mfenesi Mazizi Shehiya ya Gulioni Mjini Zanzibar.(picha na Abdalla Omar - Habari Maelezo Zanzibar.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...