Sehemu ya kituo cha  kupoza umeme cha KIA 132/33kV kilichopo mkoani Kilimanjaro kama kinavyoonekana pichani.
 Meneja Miradi ya Usafirishaji na Usambazaji Umeme kutoka  Shirika la Umeme Nchini (TANESCO), Mhandisi Emmanuel Manirabona (wa pili kutoka kulia) akielezea  mafanikio ya  kituo cha kupoza  umeme cha KIA 132/33kV kilichopo mkoani Kilimanjaro.
Meneja Miradi ya Usafirishaji na Usambazaji Umeme kutoka  Shirika la Umeme Nchini (TANESCO), Mhandisi Emmanuel Manirabona akielezea jinsi kifaa cha kuongozea mitambo ya umeme  kinavyofanya  kazi  mbele ya waandishi wa habari  (hawapo pichani).

Mwarobaini wa kukatika kwa umeme  Arusha wapatikana.
Ni baada ya kukamilika kwa kituo cha  kupoza umeme cha KIA
Wateja zaidi ya 89,000 waunganishwa; TANESCO kukusanya bilioni 9 kwa mwezi Juni 06, 2016.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 09, 2016

    Kazi ya umeme wa uhakika na kuunganisha wengi ni nzuri iendelee.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...