Mkuu wa mkoa wa Njombe, Rehema Nchimbi leo amemkabidhi Mkuu wa mkoa wa Iringa, Amina Msenza Mwenge wa Uhuru utakaokimbizwa kwa siku 5 mkoa wa Iringa kwenye halmashauri 5 na kuzindua miradi, kukagua na kuweka jiwe la Msingi. leo Mwenge huo umekimbizwa Wilaya ya Mufindi , kesho wilaya ya Iringa. shamrashamra hizo zilifanyika kijiji cha Nyigo.
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza akipokea Mwenge wa Uhuru utakaokimbizwa kwa siku 5 mkoa wa Iringa kwenye halmashauri 5 na kuzindua miradi, kukagua na kuweka jiwe la Msingi katika maeneo yaliyowekwa, leo hii katika kijiji cha Nyigo.
Mkuu wa wilaya ya Iringa, Richard Kasesela akiushika Mwenge huo.
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza akizungumza jambo na Mkuu wa wilaya ya Iringa, Richard Kasesela.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...