
Mhariri Mkuu Idara ya Habari Maelezo Zanzibar Ramadhan Ali akimkaribisha Mwenyekiti wa Chama cha Wakulima (AFP) ambae pia ni Waziri wa SMZ asie na Wizara Maalum Saidi Sudi azungumze na Waandishi wa Habari katika ukumbi wa Sanaa Rahaleo.

Mwenyekiti wa Chama cha Wakulima (AFP) Saidi Sudi akizungumza na waandishi wa Habari hawapo (pichani) kuhusiana na kadhia ya kukatwa mikarafuu, minazi na mihogo katika shamba lake lenye urefu wa eka moja na nusu huko Pemba.

Baadhi ya wandishi wa Habari wakimsikiliza Mwenyekiti wa Chama cha Wakulima (AFP) Saidi Sudi hayo pichani katika ukumbi wa Sanaa Rahaleo Mjini Zanzibar. Picha na Makame Mshenga/Maelezo Zanzibar.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...