Mwanasheria wa Property International Limited Hazel Chonya (wa pili kushoto) akimkabidhi mwanasheria wa Bayport, Mrisho Mohamed (wa pili kulia) baadhi ya hati za viwanja vilivyosajiliwa na wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi kwa wateja wa Bayport kwa viwanja vya mradi wa Vikuruti Kibaha, mradi ambao unauzwa na kampuni ya Property International Limited kwa kushirikiana na Bayport. Kushoto) Ofisa Uendeshaji Property International,George Obado na Meneja Masoko wa Property International Leila Maingu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...