Waziri wa Kilimo ,Mifugo na uvuvi Bw Mwigulu Nchemba akifurahia zawadi ya maboga aliyepewa na wananchi wa kijiji cha KilaMpanda jimbo la Iramba mkoa wa Singida wakati wa ziara yake ya kuwashukuru wananchi wa jimbo hilo kumchagua bila kufanya kampeni mwaka jana kuendelea kuwa mbunge wao kwa kipindi cha pili sasa.
Wananchi wa jimbo la Iramba kata ya Kilampanda wakimpokea mbunge wao Bw Mwigulu Nchemba kwa zawadi za maboga wakati wa ziara yake jimboni humu jana Juni 5.
Mbunge Mwigulu akitembea kwa miguu na wananchi wake katika moja kata ya bonde ambalo ni hesemu ya barabara inayolalamikiwa na uwananchi kutokana na ubovu eneo hilo halina daraja.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...