Naibu  Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kushoto),  akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari(hawapo pichani)  kuhusiana na matukio ya kihalifu ya kuchoma moto nyumba, mashamba na kuharibu mazao  yaliyotokea mkoa wa Kusini Pemba na kuahidi kuyashughulikia. Kulia ni Kamishna  wa  Polisi Zanzibar, Hamdani Omary Makame.
 Kamishna  wa Jeshi la  Polisi Zanzibar, Hamdani Omary Makame, akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari(hawapo pichani)  kuhusiana na matukio ya kihalifu ya kuchoma moto nyumba, mashamba na kuharibu mazao  yaliyotokea mkoa wa Kusini Pemba. Kushoto ni Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Mkutano huo umefanyika Makao Makuu ya Polisi Zanzibar.
Makamanda wa Jeshi la Polisi na waandishi wa habari wakimsikiliza Naibu  Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni   katika mkutano   kuhusiana na matukio ya kihalifu ya kuchoma moto nyumba, mashamba na kuharibu mazao  yaliyotokea mkoa wa Kusini Pemba. (Picha Zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi)
IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI- WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...