NHIF Mkoa wa Morogoro washerekea siku ya Mtoto wa Afrika kwa Kutoa elimu juu ya fao la TOTO AFYA. Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya mkoa wa Morogoro Bi. Agnes Chaki akitoa maelezo  kwa wananchi juu ya huduma zinazotolewa na Mfuko huo , katika siku ya Mtoto wa Afrika Mkoa wa Morogoro.
 Watumishi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa Morogoro wakisikiliza wananchi  walifika kwenye banda la NHIF  Mkoani  Morogoro  kutoka  (kushoto) ni Afisa matekelezo Enock Humba, Agnes Chaki na Hamidu Mwambungu, katika siku ya Mtoto wa Afrika Mkoani Morogoro.
 Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Agnes Chaki pamoja na Afisa matekelezo wa ofisi hiyo Bw. Enock Humba wakiendelea kuhamasisha wazazi juu ya umuhimu wa Fao la TOTO AFYA, katika siku ya Mtoto wa Afrika Mkoani Morogoro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...