Askari Polisi wakizima moto uliokuwa umewashwa na wafanyabiashara ndongondogo maarufu kwa jina la "wamachinga" waliokuwa wamepanga bidhaa zao chini katika katika mtaa wa Kongo jijini Dar es Salaam, wakipinga kuondolewa katika mtaa huo. (Picha na Francis Dande)
Polisi wakizima moto uliowashwa na wamachinga.
Mtaa wa Kongo ukiwa mweupe baada ya kuondolewa kwa wamachinga.
Wanachi wakipita katika Mtaa wa Kongo bila usumbufu wowote baada ya wafanyabiashara wanaopanga bidhaa zao chini kuondolewa na Polisi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...