SIMU.TV: Waziri mkuu Mhe. Kassim Majaliwa atoa ufafanuzi juu ya mikakati ya dharura ya serikali dhidi ya ujenzi wa barabara zilizoharibika kwa mvua; https://youtu.be/zRkgsHJuLF4
SIMU.TV: Mhe. Martha Mlata amtaka waziri mkuu kutoa maelekezo kwa watumishi wa afya kuwabainisha wananchi wenye maradhi wasio na fedha za matibabu;https://youtu.be/eKzuHeWa8Ak
SIMU.TV: Je serikali haioni umuhimu wa kutathmini orodha ya wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama akiwemo mbunge wa jimbo husika? Mhe. Sima ahoji; https://youtu.be/Hmh4-KQCwQE
SIMU.TV: Naibu waziri TAMISEMI Mhe. Jafo atoa ufafanuzi juu ya uboreshaji wa malambo katika wilaya ya Bunda na kutokomeza magugu maji; https://youtu.be/OGbPaUZ6RxA 
SIMU.TV: Mbunge wa Lindi mjini Mhe. Kaunje aitaka serikali kufanya uhakiki na uchunguzi juu ya zoezi zima la upimaji na ugawaji wa viwanja; https://youtu.be/cuxK3cV68sM
 SIMU.TV: Mhe. Joseph Mbilinyi aitaka serikali kuweka bayani ni lini jengo jipya la maabara ya mionzi hospitali ya rufaa Mbeya litakamilika; https://youtu.be/U0FHrnLfCu0
SIMU.TV: Je ni lini serikali itawapatia mikopo wanawake wanaojishughulisha na kilimo cha mwani ili kuongeza uzalishaji wa zao hilo? Sikiliza majibu ya serikali; https://youtu.be/B1wma1gVshM
SIMU.TV: Sikiliza mikakati ya serikali katika kuboresha elimu na kumfanya mwanafunzi awe na uwezo na ubunifu wa kujiajiri pale anapohitimu chuo; https://youtu.be/bCpV6WMpYeE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...